Kidole cha Habiba ni kimoja cha vitabu katikamsururu wa Little Birds ECDE vilivyoandikwa kuwapawatoto maarifa na ujuzi wa kujilisha. Yanayofundishwakatika hadithi hii ni pamoja na kunawa mikono kabla yakula na adabu njema wakati wa kula.Lengo la msururu huu ni kuhimiza usomaji miongoni mwawatoto. Msamiati uliotumiwa kuandika hadithi hizi ni rahisi nawa kawaida. Picha na michoro maridadi na ya kupendezaimetumiwa ambayo inaifanya hadithi iwe ya kupendeza nakufurahisha. Hii itasaidia kuwachochea watoto kujadiliyaliyomo wanaposoma.